Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Buriani Mama JPM

Mama wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati John Pombe Magufuli, Bi. Suzana Musa ameagwa rasmi leo Mei 29, 2026 katika Wilaya ya Chato Mkoa wa Geita.

Bi.

Suzana aliyefariki dunia Mei 25, 2026 ameagwa na mamia ya Waombolezaji wakiwemo Viongozi mbalimbali wa Serikali wakiongozwa na Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi.



Baada ya ibada ya kuaga, Bi.Suzana amezikwa katika Makaburi ya familia yaliyopo Chato.

Kuhusiana na mada hii: