Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Wajifungua Mapacha Wanne Kila Mmoja Siku Moja

Wanawake wawili Bi Ester Maua na Bi Dianola Jahi wakazi wa Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma wamevuta hisia za wananchi wengi baada ya kila mmoja kujifungua watoto mapacha wanne, hali iliyofanya jumla ya watoto waliozaliwa kuwa wanane kwa akina mama hao wawili.

Kutokana na hali hiyo, jamii imeombwa kujitokeza kwa moyo wa upendo na mshikamano kuwasaidia akina mama hao ili kuhakikisha watoto hao wanapata malezi bora na huduma muhimu zinazohitajika katika hatua za mwanzo za maisha yao.

 

 Chanzo; Eatv

Kuhusiana na mada hii: