Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Mchungaji Atema Ukweli Wazazi Kuachia Mitandao Kulea Watoto

Askofu Mkuu wa Kanisa la Biblia Tanzania, Daktari Stanslaus Komba amewataka wazazi na walezi kuzichunga familia zao na kutoiachia mitandao kulea watoto wao ili kujenga kizazi chenye maarifa ya kujituma, kuwajibika katika kazi na kumcha mungu kwa maendeleo ya familia zao na taifa kwa ujumla.

Askofu Komba ametoa wito huo, katika ibada maalumu iliyoambatana na kutoa misaada mbalimbali kwa watoto wanaolelewa na kanisa hilo kituo cha Mahenge Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma.

 

 

Chanzo; Itv

Kuhusiana na mada hii: