Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Warioba, Serikali Ilikubali Yaliyotokea Oktoba 29

Jaji mstaafu wa Tanzania Joseph Warioba amesema katika mahojiano na chombo kimoja cha habari nchini humo kwamba kuhusisha vyombo vya usalama na siasa ni hatari.

Warioba ameihimiza serikali kukubali makosa yaliyotokea kabla na baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29 ili kufungua njia ya maridhiano.

Amesisitiza pia juu ya umuhimu wa kujenga mifumo inayolinda uhuru wa vyombo vya usalama na kuhakikisha vinawajibika kwa mujibu wa sheria na wala sio kwa matakwa ya kisiasa. 

 

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: