Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

17 Wakamatwa kwa Tuhuma za Uchochezi Mtandaoni

Jeshi la polisi mkoani Kagera nimewashikilia watu 17 kwa tuhuma za uchochezi wenye viashiria vya kufanya vurugu mtandani

Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Kagera Blasius Chatanda amedhibitisha kukamatwa kwa watu hao wakati akiongea na waandishi wa habari mkoani humo na kusema kuwa wanaendelea na mahojiano na uchunguzi ukikamilia watapelekwa mahakamani

Pia Chatanda amewahakikishia wananchi wa mkoa huo kuwa upo imara siku zote na kusema kuwa wananchi wote ambao wamejiandikisha kupiga kura watapiga kura bila wasiwasi kwa sababu ulinzi umeimarishwa vizuri.

 

Chanzo: Clouds Media

Kuhusiana na mada hii: