Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Askari wa Vikosi vya SMZ Wakisuburi Kupiga Kura Zanzibar

Askari wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama vya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) wakiwa kwenye foleni wakisubiri kupiga kura ya mapema katika kituo cha kupigia kura Sekondari ya Tumekuja Jimbo la Kikwajuni Mkoa wa Mjini Magharibi.

Kwa mujibu wa Sheria Namba nne ya Uchaguzi yam waka 2018, imeelezwa kuwa kura ya mapema hufanyika kabla ya uchaguzi mkuu. Kura hiyo inawahusu watendaji wote wanaoshughulika na uchaguzi, walinzi na wasimamizi wa siku ya uchaguzi, ili waweze kutimiza majukumu yao bila changamoto zozote.

 

Chanzo; Mwananchi

Kuhusiana na mada hii: