Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Amuua Rafiki Yake Kisa Memory Card ya Simu

Mwanaume mmoja mkazi wa Kijiji cha Hala, Wilaya ya Babati mkoani Manyara, Gabriel Noel (45), amefariki dunia baada ya kudaiwa kushambuliwa kwa kitu kizito na rafiki yake, Adam Keto, katika tukio linalodaiwa kusababishwa na ugomvi wa memory card ya simu.

Tukio hilo limetokea Desemba 17, 2025 katika mazingira ambayo chanzo chake kinaelezwa kuwa ni kugombania memory card hiyo ya simu, kati ya marehemu na mtuhumiwa.

 

Chanzo; Global Publishers

Kuhusiana na mada hii: