Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Mjamzito Aokolewa Akisombwa na Maji

Jeshi la Zimamoto na uokoaji mkoani Tabora limefanikiwa kuwaokoa watu wanne, akiwemo mama mjamzito, waliosombwa na maji usiku wa kuamkia leo katika Kata ya Malolo Manispaa ya Tabora, wakiwa kwenye usafiri wa bajaji wakati mvua kubwa ikinyesha, ambapo abiria wamewahishwa hospitalini, huku dereva wa chombo hicho akidaiwa kutokomea baada ya kuokolewa.

 

 

Chanzo; Itv

Kuhusiana na mada hii: