Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Mnyika Apenyezewa Alipo Heche

Katibu Mkuu wa chama cha CHADEMA, John Mnyika amesema amepata taarifa kutoka kwa mmoja wa kiongozi wa Jeshi la Polisi kwamba Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, John Heche yupo Dodoma.

Akizungumza nje ya Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo ya Dar es Salaam, Mnyika amesema;

“Tunalitaka Jeshi la Polisi na Uhamiaji kwa pamoja watoe kauli kwa umma kwamba Makamu Mwenyekiti John Heche yupo wapi na ana hali gani, Makamu Mwenyekiti alichukuliwa asubuhi kweupe mbele ya mahakama na alichukuliwa na Polisi, kwa wenye wajibu wa kusema yupo wapi ni na ana hali gani wa kwanza kabisa ni Jeshi la Polisi na wapili ni idara ya uhamiaji, kwa nafasi yangu nimefanya mawasiliano na kiongozi mmoja wa Jeshi la Polisi akanieleza kwamba Makamu Mwenyekiti yupo Dodoma na akasema tufuatilie Dodoma,

 

Chanzo: Millard Ayo

Kuhusiana na mada hii: