Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

utitiri wa Vitambulisho Kupunguzwa, Kitambulisho cha Taifa Kuongezewa Majukumu

Serikali imeanza mpango wa kukiunganisha Kitambulisho cha Taifa (Nida) na huduma nyingine za umma ikiwamo bima ya afya, leseni ya udereva na mifuko ya hifadhi ya jamii ili kuepusha utitiri wa vitambulisho pindi mtu anapohitaji huduma mbalimbali.

Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene ameeleza hayo, leo Ijumaa Desemba 19, 2025 katika kikao kazi cha tathimini ya utekelezaji wa ahadi za siku 100 za Rais Samia Suluhu Hassan.

Kikao hicho kilichofanyika wilayani Kibaha mkoani Pwani, kimehudhuriwa na mkuu wa mkoa huo, Abubakari Kunenge, wakuu wa wilaya na viongozi wengine wa juu wa ngazi ya mkoa huo.

 

Chanzo; Mwananchi

Kuhusiana na mada hii: