Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Wanasheria Wataka Serikali Ingiliakati Ushirikina

 Wakati Imani za kishirikina zikiendelea kuleta madhra kwa jamii kama vile mauaji, baadhi ya wanasheria wamekuja mtazamo kwamba, ni wakati sasa serikali kuangalia namna ya kuweka sawa suala la uchawi ikiwemo kuangalia sheria yake na kuamua kuutambua kama upo.

Licha ya wito huo wa wanasheria na baadhi ya wananchi wameongea na KURASA wamesema suala hilo ni zito na kwamba sio rahisi kurasimisha uchawi kwani unaweza kuleta madhara Zaidi kwenye jamii lakini pia unaweza kutumika kama teknolojia nyingine.

 

Chanzo: Eatv

Kuhusiana na mada hii: