Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Mafuta Yazagaa Baharini Coco Beach

Taharuki imeibuka katika Ufukwe wa Bahari wa Coco jijini Dar es Salaam baada ya mafuta kuonekana kwa wingi kwenye maji ya bahari na mchanga wa ufukweni, huku ikiwa haifahamiki yametoka wapi na yamefikaje katika eneo hilo.

Global TV imefika eneo la tukio na kuzungumza na baadhi ya watu wanaofanya shughuli zao ufukweni, ambao wameeleza hali ilivyo.

 

Chanzo: Global Publishers

Kuhusiana na mada hii: