Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Ndugu Wachachamaa Sakata la Heche

"Viongozi wa chama kupitia kwa Mkurugenzi wa chama Gaston Garubindi ambaye ni wakili na Mkurugenzi wa masuala ya sheria wa CHADEMA wamefika 'Central' polisi kumuulizia mheshimiwa John Heche wakaambiwa ni kweli amefika hapa lakini tunamsafirisha kwenda Tarime"

"Sasa katika hali ya kutushangaza mtu ambaye ni kiongozi ambaye anaweza kuitwa polisi kwa barua au kwa meseji na akaenda wamechukua jukumu la kumbeba kutoka Dar es Salaam na kumsafirisha"

"Umbali wa kutoka Dar es Salaam mpaka Tarime hata kama umesafiri kwa basi jana saa saba usiku leo unakuwa umeshafika lakini pia kama ni pikipiki kwa muda wote huo ingekuwa imeshaingia pia"-Chacha Heche

 

Chanzo: Nipashe

Kuhusiana na mada hii: