Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Polisi Wakiri Kumakamata Niffer

Baada ya kusambaa mitandaoni kwa taarifa za Mfanyabiashara Jenifer Jovin ( Niffer) kutekwa na Watu wasiojulikana leo Dukani kwake maeneo ya Sinza Kumekucha Jijini Dar es salaam, Ayo Tv imelitafuta Jeshi la Polisi ili kufahamu kuhusu tukio hilo.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam Jumanne Muliro ameithibitishia Ayo Tv kuwa Jeshi la Polisi ndilo lililohusika kumkamata Mfanyabiashara huyo huku akisisitiza yafuatayo, Polisi wamemkamata wala sio Watu, sema Polisi wamemkamata mi ndio nakwambia”  amesisitiza Kamanda Muliro.

 

Chanzo: Millard Ayo

Kuhusiana na mada hii: