Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Boom Lafikia 10000/= kwa Siku kwa Wanavyuo

Kupitia mtandao wake wa X, David Kafulila, ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi Tanzania (PPP Centre), ameandika:

Uamuzi wa kuongeza posho ya kujikimu (boom) kwa wanafunzi wanaopata mkopo kutoka shilingi 8,500 iliyodumu kwa miaka mingi na kuiongeza kufikia shilingi 10,000 kwa siku, ni kwa ajili ya kusaidia watoto wa familia masikini kuweza kumudu gharama za maisha wakiwa chuoni.

 

Chanzo; Global Publishers

Kuhusiana na mada hii: