Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Kyando; Wanaotaka Kumshtaki Kitima Wanataka Umaarufu

"Vijana wengi wanaweza kuyumbishwa kwa sababu ya pesa na mahitaji mbalimbali na tukakana hata imani yetu nilikuwa naangalia kwenye mtandao mmoja wale vijana wanaosema vijana Wakatoliki wamshtaki Kitima, Kitima ni Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania"

"Sasa eti vijana Wakatoliki wanamshtaki kwa Papa kwanza wanajua mlango wa Papa wanaingilia wapi? Papa utamuona wapi? lakini unaona ni vijana ambao wanatafuta umaarufu na kukana kabisa imani yao eti kwasababu ya kutaka uchawa ni ulevi fulani tu unaofanya vijana wanapoteza imani yao"- Askofu Eusebio Kyando kutoka Jimbo Katoliki Njombe

 

 

Chanzo; Nipashe

Kuhusiana na mada hii: