Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Lissu Kuunganishwa Kesi Mgawanyo Mali za CHADEMA

Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali mapingamizi yaliyowekwa na Said Issa Mohammed na wenzake kupinga Lissu kuunganishwa katika Kesi ya Mgawanyo wa Mali inayowakabili Katibu Mkuu wa CHADEMA na Bodi ya Wadhamini.

Uamuzi huo umetolewa na Jaji Hamidu Mwanga, baada ya kutupilia mbali mapingamizi mawili yaliyowekwa na Wakili wa walalamikaji (Said Issa Mohammed na Wenzake), na kwa msingi huo maombi ya msingi ya Lissu yatasikilizwa Machi 06, 2026 mbele ya Jaji Hamidu Mwanga.

 

 

Chanzo; Nipashe

Kuhusiana na mada hii: