Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Radi Yaua Mmoja Tabora

Kijana mmoja mwenye umri wa miaka kumi na tisa (19) Mwagala Sehemu Malando mkazi wa Kijiji cha Songambele Kata ya Uyowa Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora amefariki dunia kwa kupigwa na radi usiku wa jana huku wenzake wawili wakijeruhiwa.

Kamanda wa Jeshi la polisi Mkoa wa Tabora Kamishna msaidizi wa Polisi Richard Abwao amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.

 

Chanzo; Itv

Kuhusiana na mada hii: