Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Wanne Waokolewa Wakisombwa na Maji Tabora

Watu wanne, akiwamo mjamzito wamesombwa na maji wakiwa kwenye bajaji maeneo ya Malolo, Manispaa ya Tabora, kutokana na mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kumkia Desemba 28, 2025.

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji limewaokoa watu hao ambao wamepelekwa katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Tabora (Kitete), ikielezwa kuwa hali zao zinaendelea kuimarika.

Kamanda wa jeshi hilo Mkoa wa Tabora, Loshipay Laizer, amesema pia wameokoa bajaji ambayo imeharibika.

 

 

Chanzo; Mwananchi

Kuhusiana na mada hii: