Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Mwanza, Zuio Baa Kufangwa Saa Nne Usiku Laondolewa

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda ametangaza rasmi kuondoa zuio la wananchi kuendelea na shughuli zao baada ya saa kumi na mbili jioni. Kadhalika amesema licha ya zuio hilo kuondolewa baa zitatakiwa kufungwa ifikapo saa nne usiku.

Amesema hayo leo na kubainisha kuwa sasa ni ruksa kwa wananchi kutembea na kufanya shughuli mbalimbali mpaka usiku.

 

Chanzo; Nipashe

Kuhusiana na mada hii: