Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Uingereza Yaomba Uchunguzi Huru Kuhusu Oktaba 29

Uingereza imetoa ombi kwa Umoja wa Mataifa (UN) kuhakikisha inaitaka Tanzania kuruhusu uchunguzi huru, ulio wazi na wenye ushirikishwaji kuhusu matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu yaliyoshuhudiwa October 29,2025 na baada ya tarehe hiyo uchaguzi ikiwemo tuhuma za mauaji na kufichwa kwa miili.

Balozi wa Haki za Binadamu anayeiwakilisha Uingereza kwenye Umoja wa Mataifa, Eleanor Sanders amesema hayo wakati akitoa hoja yake kwenye Baraza la Haki za Binadamu la 61 la UN ambapo Uingereza imesema uchunguzi huru utasaidia kuleta uwajibikaji na kulinda uhuru wa Watanzania na Katiba ya Tanzania.

 

Chanzo; Millard Ayo

Kuhusiana na mada hii: