Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Kim Ajaribu Makombora Yake

Kiongozi Mkuu wa Taifa la Korea Kaskazini Kim Jong UN, amesimamia na kushuhudia majaribio ya urushaji makombora ya kimkakati kutokea kwenye meli yake ya kivita majaribio ambayo yamekwenda sambamba na zoezi la ulengaji shabaha.

Chombo cha habari cha Serikali ya Korea Kaskazini kimesema makombora hayo ya kutoka baharini hadi ardhini yamerushwa jana March 04,2026 ikiwa ni sehemu ya kuonesha uwezo wa Nchi hiyo kujilinda kwenye maeneo yake ya Bahari.

 

 

Chanzo; Millard Ayo

Kuhusiana na mada hii: