Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Iceland Yagundua Mbu Watatu kwa Mara ya Kwanza

Kwa mara ya kwanza kabisa, mbu wamegunduliwa nchini Iceland, taifa ambalo kwa muda mrefu limekuwa miongoni mwa maeneo machache duniani yasiyo na mbu.


Mbu watatu wa aina ya Culiseta annulata, majike wawili na dume mmoja, wamegundulika kaskazini mwa mji mkuu Reykjavik, kwa mujibu wa Taasisi ya Sayansi Asilia ya Iceland. Mbali na Antarctica, Iceland imekuwa mojawapo ya maeneo machache duniani yasiyo na mbu hadi sasa.

 

Chanzo: Dw

Kuhusiana na mada hii: