Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Misri Yazindua Makumbusho Ya Bilioni 1.5

Misri imefungua rasmi Makumbusho yake Kuu yenye thamani ya dola bilioni moja baada ya zaidi ya miaka 30 ya upangaji na ujenzi.

Jumba hilo la makumbusho likiwa karibu na Piramidi za Giza, litawapa wageni historia ya safari ndefu kupitia maelfu ya miaka ya ustaarabu wa Misri ya kale ikichanganya muundo wa hali ya juu na mojawapo ya mkusanyiko mkubwa zaidi wa vitu vya sanaa duniani.

 

Chanzo; Bongo 5

Kuhusiana na mada hii: