Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Waziri Mkuu wa Zamani na Mkewe Watupwa Gerezani Miaka 17

Mahakama ya Pakistan leo Jumamosi imewahukumu waziri mkuu wa zamani Imran Khan na mke wake kifungo cha miaka 17 kila mmoja, katika kesi ya ufisadi inayohusiana na kuhifadhi zawadi za kifahari za serikali.

Uamuzi wa mahakama maalumu ulitangazwa wakati wa kikao kilichofanyika katika gereza la Rawalpindi ambako Khan, mwenye umri wa miaka 73, amekuwa akishikiliwa kwa zaidi ya miaka miwili.

 Khan aliiongoza Pakistan kati ya mwaka 2018 na 2022 kabla ya kuondolewa na bunge kupitia kura ya kutokuwa na imani.

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: