Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

M23 Wawateka Raia wa Kinyamulenge na Kuwalazimisha Kushiriki Ibada

M23 wamewakamata raia wa jamii ya Kinyamulenge katika baadhi ya maeneo ya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, na kuwadai washiriki katika ibada za maombi.

Kwa mujibu wa vyanzo vya ndani, raia hao wamelazimishwa kuomba huku waasi hao wakidai maombi hayo yawe sehemu ya maandalizi yao ya kuendelea na mashambulizi dhidi ya majeshi ya serikali na maadui wengine. 

Tukio hilo limezua hofu kubwa na kulaaniwa vikali na wadau wa haki za binadamu, wakilitaja kama unyanyasaji wa kidini na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu.

 

Chanzo; Cnn

Kuhusiana na mada hii: