Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Israel Yakabidhi Miili 45 ya Wapalestina

Shirika la Msalaba Mwekundu limesema limekabidhi miili ya Wapalestina 45 siku moja baada ya miili ya mateka watatu kurejeshwa Israel. Msemaji katika Wizara ya Afya ya Gaza Zaher al-Wahidi, amethibitisha kupokelewa kwa miili hiyo katika hospitali ya Nasser.

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: