Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Wanamgambo wa RSF Waichukua Ngome ya Jeshi la Sudan

Kundi la wanamgambo wa RSF nchini Sudan limetangaza kuwa limechukua udhibiti kamili wa mji wa El-Fashir, ngome ya mwisho ya jeshi la Sudan katika jimbo la Darfur, baada ya kuuzingira kwa zaidi ya miezi kumi.

Wanamgambo hao wanaoongozwa na Jenerali Mohamed Hamdan Dagalo walitangaza jana Jumapili kuwa wamechukua makao makuu ya jeshi katika mji huo wa El-Fashir.

El-Fashir ilikuwa ngome ya mwisho ya jeshi la Sudan katika jimbo la Darfur, na kutekwa kwake kunachukuliwa kama ushindi mkubwa wa kisiasa na kijeshi kwa RSF. 

 

Chanzo: Dw

Kuhusiana na mada hii: