Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Urusi Kuamsha Uhuru wa Pili Afrika Kiuchumi

Urusi inaongeza ushirikiano wake barani Afrika kupitia mikataba ya nishati ya nyuklia, biashara, utamaduni na ulinzi, ikisema inalenga kusaidia kujitegemea kiuchumi kama ilivyokuwa mapambano ya uhuru wa miaka ya 1960.

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi, Sergey Vershinin, amesema lengo ni kuimarisha viwanda, kilimo, madini na ulinzi ili kupunguza utegemezi wa mataifa ya Magharibi mwelekeo unaovutia nchi nyingi za Afrika zinazotafuta uhuru wa kiuchumi.

 

Chanzo; Cnn

Kuhusiana na mada hii: