Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Maandamano Makubwa Stratford, Wito wa Kuikomboa Palestina Wazua Gumzo London

Waandamanaji wamejitokeza kwa wingi katika Westfield Stratford, London, wakidai uhuru wa Palestina, kusitishwa kwa kile wanachokiita uvamizi haramu, pamoja na kususia makampuni yanayohusishwa na uungaji mkono wa Israel.

Katika maandamano hayo, waandamanaji pia walitoa wito wa kuachiliwa huru kwa kundi la wanaharakati wanaojulikana kama “Filton 24”, wakisisitiza haki za binadamu na usawa wa kimataifa.

Maandamano hayo yameongeza shinikizo la kimataifa kuhusu mgogoro wa Palestina na Israel, huku yakionyesha kuongezeka kwa mshikamano wa raia barani Ulaya dhidi ya kinachoendelea Gaza.

 

 

 

Chanzo; Cnn

Kuhusiana na mada hii: