Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Marekani Yashambulia Magaidi wa IS, Nigeria

Rais Donald Trump amesema Marekani imefanya shambulio kali na hatari dhidi ya kundi la Islamic State (IS) kaskazini magharibi mwa Nigeria.

Kiongozi huyo wa Marekani amesema IS ni magaidi wakubwa na kulishutumu kundi hilo kwa kuwalenga na kuwaua kikatili, Wakristo wasio na hatia.

Trump amesema jeshi la Marekani limefanya mashambulizi hayo, huku Kamandi ya Marekani ya Afrika (Africom) ikiripoti kwamba shambulio la Alhamisi lilifanywa kwa ushirikiano na Nigeria katika jimbo la Sokoto.

Waziri wa Mambo ya Nje wa Nigeria, Yusuf Maitama Tuggar ameiambia BBC ni operesheni ya pamoja inayolenga magaidi, na haina uhusiano wowote na dini fulani.

 

 

Chanzo; Nipashe

Kuhusiana na mada hii: