Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Ajali ya Basi Yaua 63 Uganda

 Watu 63 wamepoteza maisha baada ya mabasi mawili ya abiria kugongana uso kwa uso kwenye mji mdogo wa Kiryandongo, magharibi mwa Uganda.

Polisi ya nchi hiyo imesema watu wengine kadhaa wamejeruhiwa katika ajali hiyo ambayo ndio mbaya zaidi kuwahi kutokea kwenye taifa hilo la Afrika Mashariki mnamo miaka ya hivi karibuni.

Kulingana na taarifa ya polisi mabasi mawili ya abiria yaliyokuwa yakitokea upande tofauti yaligongana yalipojaribu kuyapita magari mengine katika barabara kuu inayoelekea mji wa Gulu uliopo kaskazini mwa Uganda.

 

Chanzo: Dw

Kuhusiana na mada hii: