Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Kamala kugombea Urais Tena Marekani

Makamu wa Rais wa zamani Kamala Harris ameweka wazi nia yake ya kugombea tena nafasi ya Urais wa Marekani katika uchaguzi wa mwaka 2028 kupitia Chama chake cha Democratic wakati akifanya mahojiano na Kituo cha BBC jana Jumamosi.

Katika mahojiano hayo Bi Kamala amesema kuna uwezekano wa siku moja yeye kuwa Rais wa Taifa hilo kubwa duniani na kuandika histori ya kuwa mwanamke wa kwanza tena mweusi kuwa rais.

Kamala Harris alishindwa na Donald Trump katika uchaguzi wa mwaka 2024 baada ya aliyekuwa Rais kwa wakati ule Joe Biden kujiondoa katika kinyang’anyiro hicho siku 107 tu kabla ya Siku ya Uchaguzi.

 

Chanzo: Crown Media

Kuhusiana na mada hii: