Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Tshisekedi Amtaka Kagame Aache Kuunga Mkono Waasi

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Felix Tshisekedi, ametoa wito wa amani kwa Rais wa Rwanda Paul Kagame, akimtaka aache kuunga mkono waasi na washirikiane kwa ajili ya amani.

Ametoa wito huo alipohutubia jukwaani baada ya Kagame katika Mkutano wa Global Gateway Forum, ambao ni kongamano la uwekezaji lililoandaliwa na Umoja wa Ulaya katika mji mkuu wa Ubelgiji.

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: