Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Marco Aionya Israel Dhidi ya Ukingo wa Magharibi

Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Marekani, Marco Rubio, ameionya Israel dhidi ya mipango ya kulitwaa kwa nguvu eneo la Ukingo wa Magharibi linalozingatiwa kimataifa kuwa ardhi halali ya Wapalestina.

Matamshi ya Rubio yanafuatia hatua ya Bunge la Israel, Knesset, kuidhinisha katika hatua ya awali miswada miwili ya sheria itakayotoa nguvu kwa serikali ya nchi hiyo kulipoka eneo la Ukingo wa Magharibi na kuliweka chini ya himaya yake.

Rubio amesema hali hiyo inatishia kuteteresha utulivu kwenye kanda hiyo ikiwa ni pamoja na makubaliano ya amani yaliyofikiwa hivi karibuni ya kumaliza vita vya Ukanda wa Gaza.

 

Chanzo: Dw

Kuhusiana na mada hii: