Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Tinubu Avunja Safu ya Uongozi wa Kijeshi

Serikali ya Nigeria imetangaza mabadiliko makubwa kwenye vyeo vya juu vya kijeshi, ikibadilisha Mkuu wa Utawala wa Ulinzi pamoja na wakuu wa jeshi la nchi kavu, jeshi la majini na jeshi la anga.

Hatua hiyo inachukuliwa chini ya wiki moja baada ya vyombo vya habari nchini humo kuripoti kwamba kulikuwa na jaribio la mapinduzi ingawa serikali na jeshi walikanusha taarifa hizo.

 Wachambuzi wanasema licha ya serikali kudai rasmi kuwa hakukuwa na jaribio lolote la mapinduzi, lakini kunaashiria pengo katika ujasusi.

 

Chanzo: Dw

Kuhusiana na mada hii: