Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Watu 14 Wafariki kwa Ajali ya Moto Congo

Mashirika ya kiraia yanakadiriwa kuwa chanzo cha ajali hiyo iliyosababisha hasara ya mali huenda ikawa ni umeme na ujenzi holela wa makazi.

Ajali hiyo ikiwa ni mfululizo wa ajali zingine za moto imetokea usiku wa kuamkia leo katika mji wa Bukavu jimboni Kivu Kusini.

Katika ajali hiyo nyumba nane zimeripotiowa kuteketea kwa moto na watu waliopoteza maisha ni wa familia mbili tofauti.

Mashirika ya kiraia yanakadiria kuwa zaidi ya visa ishirini vya moto vimerekodiwa katika miezi minne iliyopita katika mji wa Bukavu.

 


Chanzo: Dw

Kuhusiana na mada hii: