Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Wakenya 86 Wanaswa Wakiishi Chumba Kimoja

Wakenya 86 walioko nchini Myanmar wamekwama kwa zaidi ya miezi miwili wakikaa chumba kimoja, wakiiomba Serikali ya Kenya iingilie kati ili warejeshwe nyumbani.

Wanasema hali wanayoishi ni ngumu na ya kutisha, huku wakiwa hawana uhuru wa kutembea wala msaada wa kutosha.
Wametuma kilio chao kwa serikali wakitaka uokoaji wa haraka, wakihofia usalama na afya zao endapo hali hiyo itaendelea.

 

Chanzo; Cnn

Kuhusiana na mada hii: