Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea Kusini, Cho Hyun, amesema kuwa majeshi ya Marekani na Korea Kusini yanafanya majadiliano kuhusu uwezekano wa kuhamisha baadhi ya mifumo ya ulinzi wa makombora ya Patriot missile defense system ambayo kwa sasa imewekwa Korea Kusini ili kusaidia operesheni za kijeshi katika vita vinavyoendelea dhidi ya Iran.
Chanzo; Global Publishers