Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Trump Maamuzi Mazito Dhidi ya Iran

Iran imeendelea usiku kucha kuvurumisha makombora ya masafa na droni kuilenga Israel na washirika wa Marekani kwenye eneo la ghuba, ikiwemo shambulizi kubwa lililoulenga ubalozi wa Marekani nchini Saudi Arabia.

Wizara ya Ulinzi ya Saudi Arabia imesema ndege mbili zisizo na rubani zimeushambulia ubalozi huo wa Marekani mjini Riyadh na kusababisha moto mkubwa ambao hata hivyo tayari umedhitiwa.

Rais Donald Trump ameapa kuiwajibisha Iran kwa uamuzi wake wa kuushambulia ubalozi wa nchi yake na kwa mauaji ya wanajeshi 6 wa Marekani tangu kuanza kwa vita Jumamosi iliyopita.

Mashambulizi ya kujibu mapigo ya Iran yamezifikia pia nchi za Bahrain na Kuwait huku makombora yake yaliyoelekezwa Israel yameanguka kwenye makaazi ya watu na kusababisha uharibifu.

 

 

Chanzo; Dw

Kuhusiana na mada hii: