Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Ni Hatari Kumtishia, Kumuua Mmarekani Duniani

Waziri wa Vita wa Marekani Pete Hegseth katika mkutano na Waandishi wa Habari Pentagon kuhusu shambulio la pamoja la Marekani na Israel dhidi ya Iran, amenukuliwa akisema “Ikiwa utaua Wamarekani, ikiwa utawatisha Wamarekani mahali popote pale duniani, tutakusaka bila msamaha na bila kusita, na tutakuua.” 

Ikumbukwe taarifa hii ni sehemu ya ujumbe mpana aliyotoa kuhusu msimamo wa Marekani katika mzozo unaondelea na Iran. 

 

Chanzo; Wasafi Media

Kuhusiana na mada hii: