Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Wawili Serengeti Boys Waitwa Taifa Stars

Kocha wa Timu ya Taifa (Taifa Stars), Miguel Gamondi amewaongeza wachezaji wawili kutoka Timu ya Taifa U17 (Serengeti Boys) Luqman Mbalasalu na Kassim Juma kwa mechi mbili za kirafiki kwenye kalenda ya FIFA.

Wachezaji hao ambao wapo Morocco na Serengeti Boys watajiunga na kikosi hicho baada ya mechi ya fainali ya Mataifa ya Afrika (AFCON U17) dhidi ya Senegal itakayochezwa Juni 2, 2026.



Taifa Stars itacheza mechi ya kwanza na Uganda Juni 5, na ya pili didi ya Rwanda Juni 9, 2026 mjini Marrakech, Morocco. Wachezaji wengine wa Taifa Stars walioitwa kwenye kikosi hicho wataripoti kambini leo jijini Dar es Salaam.

Kuhusiana na mada hii: