Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Bondia Mtanzania Afuzu Fainali Mashindano ya Ngumi

Bondia Mtanzania, Ezra Paul amefuzu hatua ya fainali kwa kumtandika kwa 'points' mpinzani wake raia wa Rwanda, Murenzi Hassan.

Paul amemtandika Hassan kwa 'ponts' 5-0 katika pambano la hatua na nusu fainali ya mashindano ya ngumi barani Afrika ambayo yanafanyika nchini Kenya jijini Nairobi.

Fainali ya michuano hiyo itafanyika siku ya Ijumaa jijini Nairobi.

 

Chanzo: Wasafi

Kuhusiana na mada hii: