Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Ambani Amzawadia Messi Saa ya Bilioni 2.6

Lionel Messi alipokea zawadi ya nadra sana wakati wa ziara yake ya “GOAT Tour” nchini India saa ya kifahari ya RM 003-V2 GMT Tourbillon (Asia Edition) yenye thamani ya takribani TZS bilioni 2.6.

Saa hiyo ya kipekee, inayomilikiwa na watu 12 tu duniani, ilikabidhiwa kwa Messi na Anant Ambani, mwana wa bilionea wa India Mukesh Ambani, baada ya ziara ya Messi katika kituo cha uhifadhi wa wanyamapori cha Vantara.

Licha ya vurugu zilizotokea kwenye tukio lake la Kolkata, ziara ya Messi ilihitimishwa kwa kishindo na zawadi inayothibitisha hadhi yake kama GOAT wa soka

 

 

Chanzo; Global Publishers

Kuhusiana na mada hii: