Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Harry Kane atandika Rekodi Zaidi ya Messi, Ronaldo

Nyota wa Bayern Munich, Harry Kane, ameweka rekodi mpya baada ya kufunga magoli 20 katika mechi 12 pekee msimu huu katika michuano yote.

kasi hii ya kufikia magoli 20 ni ya kipekee, kwani ni ya haraka zaidi kuliko ile ambayo Lionel Messi au Cristiano Ronaldo wamewahi kuifikia tangu kuanza kwa msimu wowote katika historia ya uchezaji wao kwa ngazi ya klabu .

Harry Kane ameanza msimu huu kwa kiwango cha juu, akiendelea kuwa nguzo muhimu katika safu ya ushambuliaji ya Bayern Munich.

 

Chanzo: Global Publishers

Kuhusiana na mada hii: