Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Nigeria Yaihofia Tanzania Afcon 2025

Nahodha wa Nigeria William Troost-Ekong amesema Super Eagles wamepangwa katika kundi gumu kwenye fainali za mataifa huru ya Afrika ‘AFCON’ nchini Morocco lakini watakuwa makini sana kutokana na kumbukumbu mbaya za kukosa ubingwa katika AFCON ya mwisho iliyofanyika nchini Ivory Coast.

Super Eagles wamepangwa kundi C sambamba na Tanzania, Tunisia na Uganda huku beki huyo wa Al-Kholood ya Saudi Arabia amesema Nigeria ni miongoni mwa timu zinazowania ubingwa katika michuano hiyo hivyo wana kila sababu ya kupambana na kubeba taji hilo.

Michuano hiyo inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Disemba 2025 huku Ekong akiipa nafasi kubwa Nigeria kubeba taji hilo sambamba na Morocco ambaye ni mwenyeji wa michuano hiyo na mabingwa watetezi Ivory Coast

 

Chanzo: Eatv

Kuhusiana na mada hii: