Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Matajiri Azam Washuhudia Azam Ikitinga Makundi CAFCC

Wamiliki wa Azam FC, kutoka kulia Yussuf Bakhresa, Omar Bakhresa na Abubakar Bakhresa wakiwa jukwaani wakiangalia mechi ya marudiano Hatua ya 32 Bora Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya KMKM ya Zanzibar jioni ya leoy

Azam FC imeshinda 7-0 na kwenda Hatua ya makundi inayoshirikisha timu 16 kwa ushindi wa jumla wa 9-0 kufuatia ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa kwanza Oktoba 18 Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.

 

Chanzo: Mwanaspoti

Kuhusiana na mada hii: