Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

AFCON Kuchezwa Kila Baada ya Miaka 4

Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limetangaza kuwa michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) sasa itakuwa ikifanyika kila baada ya miaka minne, badala ya mfumo wa awali wa miaka miwili ambao ulikuwa utaratibu kwa miaka mingi kabla ya mabadiliko mapya kutangazwa.

 

 

Chanzo; Bongo 5

 

 

 

Kuhusiana na mada hii: