Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Yanga Kumtambulisha Kocha Mwenye Uzoefu Kutoka Ulaya

Rais wa klabu ya Yanga Sc Eng.Hersi Said amethibitidha usiku wa leo klabu yao itamtambulisha kocha mkuu kutoka Ulaya ambaye ana uwezo na uzoefu mkubwa
 
“Tumefanya maamuzi sahihi na usiku wa leo yanga itatambulisha kocha bora kutoka Ulaya tutatambulisha kocha mwenye Ubora, Experience Kubwa, kocha atakayetuvusha kwenye mashindano haya kwenda hatua inayofuata”. - Hersi said

“Habari hii Nzuri inakuja kwenu wananchi na Leo tutamtambulisha usiku huu kama Zawadi kwenu kwa kutuunga mkono”. - Hersi said

 

Chanzo; Bongo 5

Kuhusiana na mada hii: