Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Yanga Yafuzu Klabu Bingwa Kibabe

Yanga Sc wamejihakikishia nafasi ya kushiriki hatua ya makundi ya klabu Bingwa Afrika

FT'Yanga Sc 2-0 Silver Strikers
Dickson Job
Pacome Zouzua

Klabu ya Yanga Sc imefanikiwa kufuzu hatua ya makundi baada ya kupata matokeo ya ushindi wa magoli 2-0 katika uwanja wa Benjamin Mkapa

Mechi ya kwanza iliyochezwa Malawi timu ya Wananchi Yanga Sc walipoteza kwa idadi ya goli 1-0 dhidi ya Silver Strikers

 

Chanzo: Bongo 5

Kuhusiana na mada hii: